Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,210
- 829,208
- Thread starter
- #168,641
Walimdunga sindano ya kifo cha taratibu(euthanasia)
Du!watu hawataki utaniHuyo demu alikuwa anatabia ya kula nauli na ya kutolea, siku alipoingia mtegoni aliliwa mpaka akazimia
Sent using Jamii Forums mobile app
Disclaimer: Siyo ngosha 😁💪💪💪
So unnecessary!
Ni dampo wanakuja kuzitupa hapa au shughuli huwa inafanyikia hapa hapa?
Hawezi kula shaba
Kilingeni kumefanikiwaNi dampo wanakuja kuzitupa hapa au shughuli huwa inafanyikia hapa hapa?
Billions and billions of babies are killed here...😁
Aisee hawa jamaa wamejipanga, yaani wamepenyeza hela kwenye kila sehemu yenye ushawishi 🙌
Kama zembwela ndege alipanda lini jamani???!! tuanzie hapo kwanza.khaaaa!!!!!;?
Lobbyists katika nchi za wenzetu wanakuwa registered na lazima waseme kama wanafanya kazi kwa maslahi ya nani na kamwe hawapaswi kufanya lobbying kwa mambo yanayokwenda kinyume na interests za nchi zao maana huo ni uhaini.Aisee hawa jamaa wamejipanga, yaani wamepenyeza hela kwenye kila sehemu yenye ushawishi 🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
So sad 😞Lobbyists katika nchi za wenzetu wanakuwa registered na lazima waseme kama wanafanya kazi kwa maslahi ya nani na kamwe hawapaswi kufanya lobbying kwa mambo yanayokwenda kinyume na interests za nchi zao maana huo ni uhaini.
DP World angeingia mwenyewe mzigoni kwa kununua matangazo kwenye vyombo vya habari na kuelezea ni kwa nini anataka kuchukua hizi bandari na Watanzania watafaidikaje.
Sasa sisi wasanii wetu uchwara ndiyo wamepata mahali pa kutokea hata kama wanachokipigania ni kinyume na interests na hata uhai wa taifa lao. Yaani sisi bado saaaanaaaa!
View attachment 2674571
View attachment 2674572
*******************************
View attachment 2674573