Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

1685966212996.png
 
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 123, Theresia Nyirakajumba, kutoka Nchini Rwanda, amesema toka azaliwe hajawahi kuguswa na mwanaume yeyote, na sasa yupo na tumaini kuwa atampata mwanaume sahihi na ambaye atakuwa tayari kuwa naye maishani.

Ni kweli kuwa kwa sasa wanawake wenye bikra wanahesabika? Kwanini?

#MamaMia ipo hewani muda huu mpaka saa 6:00 mchana.

#MamaMia #BonyezaLink #EastAfricaRadio

Hui ni ugonjwa sio sifa
FB_IMG_1685971870998.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom