Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshots_2023-05-26-19-30-21.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MATUMIZI MBADALA

kama huwa unatupa maganda ya mayai basi naomba leo nikupe matumizi yake, chukua maganda yako ya mayai yaloweke kwa masaa 5 mpaka 6 yakishalowa vizuri yatie kwenye blenda pamoja na maji yake, tia baking powder na usage mpaka yawe laini kisha chukua bakuli ama kontena yenye mfuniko mimina mchanganyiko wako humo halafu weka kwenye frizer kwa masaa 4 baada ya mchanganyiko wako kuganda utoe kwenye kontena au bakuli na ukautupe jalalani baada ya kula mayai peke yako ulikuwa unategemea nini kutoka kwanguView attachment 2633985
mpuuzi wew

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom