Mwanamke alivevaa pink Ana mzigo wa maana Sana😂
Ubongo( mind) na moyo vinakuwaga na mgogoro mkubwa sana
Kwanini Tizedi hawa halalishi haya majani kwa haki...?
Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi, aliyepigana vita ya Kagera na akakitumikia Chama cha Mapinduzi mpaka kuwa Katibu Mkuu wa Chama. Mbunge wa Kuteuliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mstaafu, baba wa Watoto Wanne na Shabiki wa Simba. Mzee Yusuph Makamba ametimiza miaka 85 leo.
View attachment 2634711
Sent using Jamii Forums mobile app