Luteni Kanali Mstaafu wa Jeshi, aliyepigana vita ya Kagera na akakitumikia Chama cha Mapinduzi mpaka kuwa Katibu Mkuu wa Chama. Mbunge wa Kuteuliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mstaafu, baba wa Watoto Wanne na Shabiki wa Simba. Mzee Yusuph Makamba ametimiza miaka 85 leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.