Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,386
Hapa utakuta hela za madarasa na madawati zilishatolewa wajanja wakazipiga....Kila goli 10mView attachment 2629558
Ni kula kulingana na urefu wa kamba yako ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Hapa utakuta hela za madarasa na madawati zilishatolewa wajanja wakazipiga....Kila goli 10mView attachment 2629558
Hayanaga mwongozo...
Cha muhimu uzingatie msamaha tu. Mengine yote madogo!๐คฃ๐คฃ๐คฃ wewe huchakati tena nje ukishakuwa na wife...jamni
Bro inaonekana wewe ni Limbukeni na "Mshamba sana wa mapenzi" na pia si mzima either ni muathirika wa kuakili na kichwa hakijakaa sawa either u Mlemavu wa viungo vy mwili na akili au upo kwenye umri wa kuendeshwa na balehe nq ujana wa 20's-30's pia una "pepo la ngono" linaloenda kuendesha maana sio kawaida. Toka niione na kuijua hii ID humu JF huna thread au comment yoyote ya maana zaidi ya kuandika issue za "ngono". Yaani from nowhere hata uzi uwe wa Mpira, comment yako ni lazima ihusiane na ngono. Samahani kwa hilo lakini ila badilika mkuu. Usiabudu ngono kiivyo bro.


relax mkuu, kwenye maisha halisi unaweza kuta mzab hajawahi hata kuona mbususuMbona kutishana jamani
Mpira hauko hivyo.....na lojiki yako imeparaganyika....Yanga ndiyo timu bora kwa sasa. Hutaki kaogelee baharini utokelezee kwa akina Angel Nylon ukafakamie urojo huko mpaka akili zikukae sawa ๐๐ฌKila nikitaka kuisifu Yanga kuwa Ni timu Bora Africa huwa naishiwa nguvu. Ona Sasa timu iliyowasumbua na kuwakosa kosa mabao nusu fainali malumo Sasa imechapwa mbili bila na kushuka daraja South Afrika. Huku timu inayoongoza ligi hiyo hiyo kwa point karibu karibu 16 juu ya mshindi wa pili. Kifupi timu isiyoshikiks south Africa Mamelod ikitolewa klabu bingwa kwa muda wa kawaida na wydad timu Ambayo aliwatoa kwa matuta baada ya kunusurika kipigo Cha mbwa mwizi kwa mkapa*
.....hajawahi hata kuona mbususu
Eti mishangaziHii kitu ipewe heshima yake...ndio imetukuza hadi leo tumekuwa mishangazi![]()
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐ ๐
Eti mishangazi
Utawahi?


we shimba niache sitaki kubishana na wewe. Mzima lakiniWe si nilitaka nikuonyeshe ukakimbiaKama mimi tu yaani![]()

Niko sawa kwa kweli. Vipi huko Njombe Mgendera? Baridi halijaanza kupuliza?we shimba niache sitaki kubishana na wewe. Mzima lakini
Mi mwoga ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธWe si nilitaka nikuonyeshe ukakimbia![]()
Baridi la kutosha...cha ajabu mchana jua kaliii..jioni sasaNiko sawa kwa kweli. Vipi huko Njombe Mgendera? Baridi halijaanza kupuliza?
You are missed!![]()