Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mbona kutishana jamani
Unafikiri chunusi huwa zinatoka wapi? Ni hawa jamaa wanapogegedana na kutaga mayai yao usoni mwako 😁😁

Screenshot_20230521_092029_Chrome.jpg
 
Mjasiriamali wa Teknolojia Bryan Johnson anatumia mamilioni ya pesa kwa mwaka kujaribu kurejesha nyuma umri wake.

Muonekano wa tajiri huyo mwenye umri wa miaka 45, sasa unaonekana kama kijana wa miaka 18 kushuka chini.

Bryan anasema madaktari wake wametumia zaidi ya miaka 22 kubadilisha umri wa ngozi yake.

FB_IMG_1684651319758.jpg
 
Back
Top Bottom