Vituko mitandaoni. Tupia chako

Heloo.mkuu sorry naomba mdaada cm yangu nikifungua hasa picha hazionyeshi ila zamani nilikuwa nikifungua zinafunguka sijajua km.kuna mfumo mpya hapa jf au application gani nitumie niweze kuona picha cm yangu ni Samsung A 11
 
Heloo.mkuu sorry naomba mdaada cm yangu nikifungua hasa picha hazionyeshi ila zamani nilikuwa nikifungua zinafunguka sijajua km.kuna mfumo mpya hapa jf au application gani nitumie niweze kuona picha cm yangu ni Samsung A 11 mdaada please
Kuna hiyo shida kwa wote kwa baadhi ya picha kutoonekana! Ukijitaji kuona picha na hazifunguki tumia browser utaziona bila shida
 
Shida ya hii app mpya haina mzuka sana kama hii ya zamani.
 
Mkuu!Mbona wa local channels hujaweka hapo!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…