Natamani ni tag mtu ila Acha nivunge
wana ladha gani hawa mzee wangu😅
tatizo uzito 😂
Siyo Wasukuma! 😬😬😬😬
tatizo uzito 😂
nikikua nitaacha 😅Kausha basi kamanda....
Kausha....
Jipe muda. Miaka 20 hiyo....mpaka ufike kwenye 40s huku au 60s utakuwa ushabahatika kuonja supa dupa yutong japo moja. Na utajilaumu balaa kwa miaka uliyopoteza ukihangaika na mifupa.....
View attachment 2625712
Haya kazi kwaoWakuu wale wenye tatizo la kutokuona picha wafungue JF kwa kutumia browser (Crome, Mozilla etc) kisha upande wa juu kulia wabonyeze pale kwenye vile vijinukta kadhaa then download app. Binafsi imenisaidia all the best kwenu.
ila mzee wangu Shimba ya Buyenze ujaribu hawa slim... wamechangamka watakufundisha staili mpya 😂
View attachment 2625732
mzee Shimba ya Buyenze tatizo hawa ma-SDYs wamenipa bad experiences 😅