Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Unafikiri huyu mhenga ataweza kweli kumshinda Trump safari hii. Hekaheka za kampeni zenyewe sijui kama ataziweza masikini. Ngoja tuone!
CNN wanajitahidi kumbeba Biden lakini habebeki

Hii juzi kati interview ya Trump pale CNN yule aliyemhoji alitumika kutaka kumharibia alikuwa akimuuliza Trump hardball questions lakini mzee akayapangua yote mission ya CNN ikawa imefeli

Acha tuone!
 
Screenshot_2023-05-15-11-15-54-1.jpg
 
Kariakoo imebeba ajira za vijana wengi, tena kwa sasa Kariakoo ina Vijana wengi wasomi waliohitimu Elimu ya juu. Ufinyu wa ajira Uliwafanya wakope Pesa wafungue biashara zao wakajiajiri. Mazingira yao yakiendelea kuwa Magumu litakuwa tatizo. Wasikilizwe na kero zao zitatuliwe.

FB_IMG_1684142099561.jpg
 
Back
Top Bottom