Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Shimba ya Buyenze mbona dislike tena mkuuuu 😳😳😳😳😁😁😁 eeeh nn shida aseee au ni "kataa ndoa"
Ndoa haiepukiki braza 😁😁😁

Screenshot_20230509_211902_Chrome.jpg
 
Hamna mkuu sio hivyo tukizalisha tunahudumia ila ndoa za kanisani na mikataba humo hatumo aseee

Hatuwapi mimba na kuwakimbia hapana watoto tunalea pia sema ndo hivyo viapo vile vya kanisani tunavikwepa 😁😁😁😁😁😁😁😁 in hakimis voice
Nilitaka nikuongezee dislike nyingine basi tu 😁😁😁

Kwani ndoa ni lazima ufungie kanisani? Kuna za kiserikali. Kuna za kimila....

Hakikisha watoto wako wanalelewa na wazazi wote wawili. Nina miaka 77. Najua ninachokisema!

Vinginevyo huko mbele ni majuto. Kama hutaki kuoa basi nakushauri usizae pia!
 
Ukisikia Bomba usiku linatoa Maji usitoke nje kwenda kufunga hiyo Style Mpya ya Wezi wanafungua Bomba Ili ukitoka Nje Wanakupiga na vitu vizito Kama Mnanyo Ona Kwa CCTV Camera Yatupasa kuwa Makini Sana
 
Back
Top Bottom