Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kisichoniua kinanikomaza...
images (6).jpg
 
Hawa ndo watalitumia daraja la Zanzibar...View attachment 2606072
Ni mradi wa hovyo utakaoangamiza matrilioni ya hela bila sababu.

Climatologists wanasema within 20-50 yrs sea level itakuwa imepanda sana kiasi kwamba sehemu nyingi pwani na visiwani zitakuwa inundated. Na bado unajenga mdaraja ambao utakuja kuzama majini tu....
 
Back
Top Bottom