Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Mi nikiweka picha kama hii naliwa kichwa chap lakini wengine mnapeta tu dah! 😬😬😬
Mi nikiweka picha kama hii naliwa kichwa chap lakini wengine mnapeta tu dah! 😬😬😬
Halafu ilibakia kidogo tu uolewe na Msukuma. Bahati za aina hiyo huwa haziji mara mbili shemeji
View attachment 2601711


ilibaki kidogo sana shemejiNnapata shida hio pia, hii ni kama week ya pili sasa.picha mbona hazifunguki
waboreshe bwana Maxence MeloNnapata shida hio pia, hii ni kama week ya pili sasa.
Kweli Banian mbaya kiatu chake dawa
Vile miili ya wanawake inavyotupelekekesha nafsi zetu ,bora wasingepiga picha na kuposti