Kuipambania muhimuMkiwa mnataka kutema jimbo mnahangaika hao...ila ukishakuwa main chick mnaanza bania mbususu
Kweli aisee sijawahi kuona mmasai akilia shida.
MhhKweli aisee sijawahi kuona mmasai akilia shida.
Umuhimu wake nini sasa? Na kwa nini huo umuhimu haupo wakati mkiwa side chicksKuipambania muhimu
Imagine ukinichangia nikapata Pixel 7 Pro.
Mimi ndo nilikuchongea kwa mods




😅 si utaacha kusalimia
Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno
😃😃 walikulipa nn?Mimi ndo nilikuchongea kwa mods![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna jukwaa mi kumbe nilishalimwa ban ya maisha bila kutambua wala kuambiwa maana nilishaacha kulitembelea sana. Ila kuna mod mwelewa akanifungulia lakini nikaonywa kuwa nikikosea tu ananila kichwa permanently! Yaani...
Hata ya 5 mnavunja 😂