Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,379
Ni huo huo.walikulipa nn?
Ulifanyaje? Itakuwa ni yutong zako tu.
Hilo jukwaa kuna uzi walinipa ban ya week 6. Sijazimaliza wakaunga ya jukwaa zimasijakaa sawa wakaunga ya jf nzima.
Ah sahivi nirudi kuwa wa zamani
Mtu akimess up, me nalog out. Maana ukiendelea kuwepo hapo utajikuta umemjibu. Na hapo hapo kina SYB wanakureport kimya kimya
Kumbe hata sasa nishaliwa kichwa dah! Nilikuwa napitia baadhi ya picha za ma supa dupa yutong nilizowahi kuposti huko na kuzifuta kumbe mod yupo ananilia timing....Na hii inashangaza maana picha zangu nyingi huko huwa zinafutwa anyway...
Itoshe tu kusema kuwa sitakanyaga huko tena








Nimependa jinsi walivyokuunganishia hizo ban. Huyo mod kama unamfahamu mwambie kuna Mirinda yake huku...Just avoid the petty issues. I can tell. You are not as calm as you used to be back in the day...Remember?

sijakaa sawa wakaunga ya jf nzima.
