View attachment 2579338
Bado mdogo. Ukikua kua huko kwenye 25 huko pengine utakuja kugundua kuwa haikuwa na ulazima wo wote wa kuporomosha matusi mazito namna hata kama unaamini hakuna akujuaye.
Hata mimi kuna siku ulishaniporomoshea matusi mazito tu bila sababu mpaka nikaja PM kukuomba ufute matusi yale Nikawa nasema huyu mjukuu wangu kabisa tena wa mwisho huko anapata wapi nguvu za kunitukana hivi tena bila sababu?
Mungu Azidi kukuimarisha kwa jinsi unavyoongeza miaka pia uongeze busara, uvumilivu, upendo na roho ya kusamehe. Maisha!