TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,892
- 8,485
Kizuka TPDF kipindi hicho [emoji16] mtoto wa mkuu wa kambi wa kipindi hicho alikua anaitwa jumapili[emoji43]kapwani alikuja bwenini na laptop ya baba ake [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] ikaibiwa! Mwe mwe mwee! Tulikoma, wakati huo yeye mwenyewe( mtoto) yupo hosp ya shule kesha bwia ngao ya kidonge na ngao ya maji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuliiva kuanzia mademu zake mpaka marafiki na bweni zima! Ziliingia KIA tatu zimejaa MP[emoji1787][emoji1787][emoji1787] TULIIVA na haikupatikana