Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kizuka TPDF kipindi hicho mtoto wa mkuu wa kambi wa kipindi hicho alikua anaitwa jumapilikapwani alikuja bwenini na laptop ya baba ake ikaibiwa! Mwe mwe mwee! Tulikoma, wakati huo yeye mwenyewe( mtoto) yupo hosp ya shule kesha bwia ngao ya kidonge na ngao ya maji tuliiva kuanzia mademu zake mpaka marafiki na bweni zima! Ziliingia KIA tatu zimejaa MP TULIIVA na haikupatikana
 
IMG-20230406-WA0065.jpg
 
Back
Top Bottom