TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,893
- 8,483
Kizuka TPDF kipindi hicho
mtoto wa mkuu wa kambi wa kipindi hicho alikua anaitwa jumapili
kapwani alikuja bwenini na laptop ya baba ake 



ikaibiwa! Mwe mwe mwee! Tulikoma, wakati huo yeye mwenyewe( mtoto) yupo hosp ya shule kesha bwia ngao ya kidonge na ngao ya maji


tuliiva kuanzia mademu zake mpaka marafiki na bweni zima! Ziliingia KIA tatu zimejaa MP

TULIIVA na haikupatikana

