Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,367
Ni mwanamke lakn hyo picha ni ya mtoto wa Zimbwe' halafu alipata mimba lini mpaka ajifungue wakat juzi alikuwa world cup?
Ni mwanamke lakn hyo picha ni ya mtoto wa Zimbwe' halafu alipata mimba lini mpaka ajifungue wakat juzi alikuwa world cup?
Electrical Engineering to be specific....
Mi hata najua basi mkuu.Ni mwanamke lakn hyo picha ni ya mtoto wa Zimbwe' halafu alipata mimba lini mpaka ajifungue wakat juzi alikuwa world cup?



Tunaomba mwendelezo tafadhali bwana Mshana jr



Halafu bado upambane mpaka umfikishe kileleni. Usipomfikisha - hata kama tatizo ni lake - bado utaenda kusemwa kuwa hauko vizuri kunako sita kwa sita. Wanaume kweli tumeumbiwa mateso!Mtu anaanza kukupa nauli, msosi, vinywaji, analipa na guest, bado akununulie chai asubuhi, akupe na pocket money! M'badilike sasa na nyie muone mna kila sababu ya kuchangia ukaribu wenu kama mmoja ata cover misosi na vinywaji, mwingine alipe chumba na nauli, na hapo kila mtu atakua na uchungu na mwenzie na kila mtu atakua na raha na mwenzie! Tofauti na hapo itakua ni kununua mapenzi







Washenzi sanaHalafu bado upambane mpaka umfikishe kileleni. Usipomfikisha - hata kama tatizo ni lake - bado utaenda kusemwa kuwa hauko vizuri kunako sita kwa sita. Wanaume kweli tumeumbiwa mateso!
VIP maisha yake kwa sasa
Inaitwa Mikopo umiza...ndo watoa mikopo au?
Wanaokwenda world cup hawaruhusiwi kua na ujauzito?Ni mwanamke lakn hyo picha ni ya mtoto wa Zimbwe' halafu alipata mimba lini mpaka ajifungue wakat juzi alikuwa world cup?
Fine acha tufanye ana mtoto huyo ni wakeWanaokwenda world cup hawaruhusiwi kua na ujauzito?
Zakwambiwa changanya na zako