View attachment 2574750
Adhabu kwa Ubadhirifu wa MALI au FEDHA za Umma kwenye Nchi Mbalimbali
•Korea Kaskazini - Mhusika ananyongwa mpaka anakufa.
•China - Mhusika anauliwa au anafungwa jela Maisha na hakuna msamaha.
.Japan - Mhusika anajiua mwenyewe ili kuepuka aibu kwake mwenyewe na ukoo wake.
•Russia - Mhusika anafungwa zaidi ya miaka 20 na analipa mara 50 ya kiwango alichoiba na hatorudia kutumikia ktk ofsi yeyeto ya umma Nchini Russia.
•Thailand - Mhusika anafungwa miaka zaidi ya 15 na haurudi ofsi yeyote ya Uma kwa miaka 50 kufanya kazi.
•Marekani - Mhusika anafungwa zaidi ya miaka 10 na faini kali
•Uingereza - Mhusika anafungwa zaidi ya miaka 10.
•Ghana - Mhusika anafungwa miaka kuanzia 10 na hawezi kutumikia ktk ofsi ya umma.
•
Tanzania - Unabadilishwa Ofsi au Wizara, unaitwa STUPID unaendelea kula keki ya Taifa la Tanzania