Very very trueeeee🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu inabidi apewe somo naona bado lena
Dah hatari! Ila mie demu nimgegede alafu nisibaki na kyupi yake naona sijatendea haki nafsi yangu
Kafumaniwa na mke wa mtu...Toa maelezo kidogo
, 😁😁😁😁Kituko gani kinaendelea hapa?
, 🏃🏃🏃🏃🏃Mshana Jr. Njoo umroge huyu dogo kaweka picha yako bila idhini. Dogo yaani hajatulia kabisa ndo maana ban huwa hazimkosagi![]()
Dah! Hii kitu nmekumbuka mbali sana
Uliona nini?Dah! Hii kitu nmekumbuka mbali sana
Nakumbuka niliiba nyumbani tsh 1000 nikaenda kuangalia hivi vidude



Ilikuwa na vipicha flan kama vikatuni kuna sehemu unabofya halafu kunazunguka na kubadili pichaUliona nini?![]()
Ana hamuHuyu Bi. Mkubwa vipi?
View attachment 2572629