Watu hata hamuogopi jamani[emoji38][emoji38]View attachment 2557700
Hicho kibaridi mimi naamka nacho kila siku na hakuna siku ulinihurumia[emoji16][emoji16] pambana na hali yakoKama ni China atatoboa maana tabia zake zile ndiyo zimewafikisha pale walipo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Leo kuna limvua hapa Dar Mkinga...
Na kibaridi....
Bahati mbaya hukuumia? [emoji848][emoji848]Sitasahau siku nilipoiba baisikeli Swala mpya kabisa tena ya mgeni nikaenda nayo mjini. Ile navuka tu barabara ya kwanza pikipiki ikaja full force ikanigonga. Bahati mbaya mi sikuumia ila baisikeli ikawa haibebeki....
Kama kuna siku niliyopata kasheshe na kuijua dunia ilivyo ni siku hiyo. Halafu ndo kwanza niko darasa la 4 dah!View attachment 2557818
Ni kweli hii?
Mbwa mwenyewe anajiuliza,huyu jamaa niaje!?[emoji3][emoji3]