Watu hata hamuogopi jamani
Hicho kibaridi mimi naamka nacho kila siku na hakuna siku ulinihurumiaKama ni China atatoboa maana tabia zake zile ndiyo zimewafikisha pale walipo
Leo kuna limvua hapa Dar Mkinga...
Na kibaridi....

pambana na hali yakoBahati mbaya hukuumia?Sitasahau siku nilipoiba baisikeli Swala mpya kabisa tena ya mgeni nikaenda nayo mjini. Ile navuka tu barabara ya kwanza pikipiki ikaja full force ikanigonga. Bahati mbaya mi sikuumia ila baisikeli ikawa haibebeki....
Kama kuna siku niliyopata kasheshe na kuijua dunia ilivyo ni siku hiyo. Halafu ndo kwanza niko darasa la 4 dah!View attachment 2557818


Ni kweli hii?