Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230312-074422.jpg
 
Pole aisee....

Siamini msoto ulioupata
Hiyo ilinikuta mchana kweupee! Nilikula kibano cha hatari na nilikua sijawahi vuta bangi! Ila baada ya pale nilianza kupuliza maana nilijisikia hasira kupata adhabu kwa kitu ambacho sijafanya hivyo nikashawishika kirahisi kuijaribu ili nijue inakatazwa kwa sababu gani!!? Na hapo ndipo gari ikawaka jumla
 
Back
Top Bottom