Unafaidi kweli kweli mzeya
Pole aisee....ilinikuta hii kizuka tpdf nikiwa form two chooni soweto A
, jamaa wapo choo cha pili wanavuta mimi nipo upande mwingine najisaidia, He! Kumuona " GAMBESH " (Huyu alikua mlinzi wa wanafunzi wa bweni mwanajeshi mmoja baada ya patron ) he! Si wakarushia vipisi huku nilipo na hawaja vizima
mbio wakachoropoka
ilikua hekaheka, gambesh akaja moja kwa moja kule chooni baada ya kuona mlango mwingine haujafungulia
alikuja kupitiza na teke maaaninah yule akakuta ndio navisukumia kwenye tundu la choo
sito sahau dah! Hii picha imefukua file ambalo si rahisi kukumbuka kwenye mazingira ya kawaida

Sasa hichi nini