Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1678241749890.jpg
 
Halafu huyu hakuwa original Bruce Lee, hii Game of death wamecheza watu zaidi ya wanne tofauti role ya Bruce Lee. Movie imetoka 1978 miaka mitano baada ya kifo cha Bruce Lee na kuna baadhi ya vipande kama umeangalia sana movie za huyo jamaa utaona vilichukuliwa movie za nyuma
Ni kweli kabisa
 
"UMRI SIO RAFIKI NITAMLIPA
MSHAHARA ATAKAYE NIOA"

Haya sasa unaambiwa mwanamke mmoja wa Nigeria mwenye makazi yake nchini Ufaransa ameingia kwenye mtandao ya kijamii kutoa tangazo anahitaji Mwanaume wa Kumuoa na akijitokeza atakuwa anamlipa Mshahara kwa Mwezi.

Mwanamke huyo ambae Tayari umri umeenda alidai kuwa kwa sasa anahitaji Mwanaume wa kutulia nae kwani Umri sio rafiki tena kwake

Alifichua kuwa ana mali mbalimbali nchini Nigeria na Ufaransa, hivyo fedha si suala kwake.

Amefunguka kuwa atalipa mshahara wa kila mwezi kwa mwanamume yeyote ambaye yuko tayari kumuoa.

Alipiga magoti kwenye mvua kuwasihi sana wanaume wazame kwenye DM yake na kumwambia nia yao.
IMG-20230310-WA0110.jpg
 
Back
Top Bottom