Maneno ya Shimba ya Buyenze yanakatisha tamaa kabisa. Alafu yamenigusa kunako moyoni.Mbona unanikana mapema sana
Tuliza boli doc...Naomba Mungu aepushe mbali isiwe kweli.
Ila ktk Dunia hii ya unafiki lolote linawezekana. Unaweza kuta sophy27 na wewe Dr mnanifanya Kama toy tu humu ndani. Kama ni kweli naomba sophy usiongee na Mimi kuanzia leo.![]()






