Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Hapo kazi ya Mungu inamakosaTafiti zinaonesha kuwa Barani Afrika Tanzania ndio Nchi inayo Ongoza kwa kuwa na Wanawake wengi ambao Hawana Akili Timamu, jee ni kweli au ni utafiti wa Kiwaki,.?View attachment 2514689
Huyo ndio ataelewa wahenga waliposema miluzi mingi hupoteza mbwa
Utapatwa na kihoro
Kuna ambao hawana tako wana sura nzuri kama wamechorwa hao ndo top 1% of women wenye soko bro



Duh amemwaga mchele kwa kuku
Huyu jamaa anatafutwa na yule profesa wa mjani kutoka Kenya
Ni kweli ila hata bongo wapo pini kuliko hawaLabda sana sana Ulaya na Marekani...
Uzuri haya mambo hayanaga fomyula ni kila mtu na lwake. Fanya kile kiupendezacho moyo wako bila kujali washikaji zako wanasema nini...Kama unapenda sura, flat screen, slim thick, SDY, vimodo, full sulusuti etc go for it!
View attachment 2524687View attachment 2524689View attachment 2524690View attachment 2524692View attachment 2524693


Nani...huyuNi mimi tu ndo hua namfatilia au tupo many..!View attachment 2524800