Unaitwa kwenye interview na shariti la kwanza lazima uende na Laptop
Mkifika wote mlioitwa kwa usaili mnawekwa kwenye chumba kimoja
Inafika muda wa breakfast, mnaelekezwa sehemu ya kwenda kwenye breakfast na mnatakiwa muache Laptop zote hapo kwenye meza maana mlangoni kuna walinzi kabisa
Inakuja na gari inawabeba mnaenda breakfast
Mkirudi
Nasema tena
Mkirudi
Narudia
Mkirudi
No mlinzi
No Laptop
KUNA MACHOZI TU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.