Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20230208_215402_898.jpg

Screenshot_20230212-150043_Swahili%20Bible%20Offline.jpg
 
Nasali uje ujaribishe kwangu...

Ni midege hii ya kwenda Sauzi kama kawaida yako au mabasi ya kwenda Unyamwezini huko Igunga na Nzega?

Aahahahahahaaaaa Siiimbaaaaaaa......😆😆😆😆😆😆😆

Sasa kama hivyo ndivyo, inabidi tukate flight moja.

Muda si mrefu ntakuwa na masafa marefu angani kuelekea ardhi ya upande mwingine....

Sasa ili nijaribishe kwako, tucheck in same flight same time, ili boarding pass ziwe za same line and row.

Hapo jaribio litakamilika, halafu ukuye ulete mrejesho kama utapigika shoti kama huyo jamaa au wewe utaanza kucheza tukunyema hapohapo....😄😄😄😄😄.

Kumbe na wewe ni mtundu hivyoo eeeehhhh....😅😅.
 
Aahahahahahaaaaa Siiimbaaaaaaa......

Sasa kama hivyo ndivyo, inabidi tukate flight moja.

Muda si mrefu ntakuwa na masafa marefu angani kuelekea ardhi ya upande mwingine....

Sasa ili nijaribishe kwako, tucheck in same flight same time, ili boarding pass ziwe za same line and row.

Hapo jaribio litakamilika, halafu ukuye ulete mrejesho kama utapigika shoti kama huyo jamaa au wewe utaanza kucheza tukunyema hapohapo.....

Kumbe na wewe ni mtundu hivyoo eeeehhhh.....
Tuje tupange vizuri basi
 
Back
Top Bottom