mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,363
- 21,441



Niko cinic na bibi ana miaka 74 , mara ya kwanza dalili za mwanzo akajua maradhi ya utu uzima, akaja kupigw ultrasound tumboni maana alikuwa anatapika sana na dawa kila akiandikwa hola , ndio kuonekana ana mimba miezi 7.