Cymon Taylor
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,754
- 3,427
Acha masihara mkuu hii ni kweli au!?Kwa hali hii kwa nini nisipende kiswahiliView attachment 2498006
Acha masihara mkuu hii ni kweli au!?Kwa hali hii kwa nini nisipende kiswahiliView attachment 2498006
Huyu ndiye huyo Aziz Ki au pacha wake?
We mcheme upo?Huyu ukimzamia chumvini utasikia "tsiii tsiii tsiii"
Akilamba koni utasikia "tnyiii tnyiii tnyiiii, tchwaa tchwaaa tchwaaa"
Babake!![]()
𝐌𝐚𝐤𝐨𝐧𝐭𝐞𝐧𝐚 𝐬𝐢 𝐡𝐮𝐚 𝐡𝐚𝐲𝐚𝐳𝐚𝐦𝐢?Kwa hiyo gari yangu hadi mwakani tenaView attachment 2496605
Mimi hua naangaliaga midomo maana wahenga walisha zoom palivyo juu kwenye meno na chini kwenye kibogoyo hivyo hivyo