🧏

Uzuri ni kwamba hakunaga kupasiana dhambi. Kila mtu anapambana na za kwake na mshahara wake anaupata accordingly.Kwaheri Sabato zambi zangu ziende kwa Mzee Shimba YBView attachment 2497932
Ha ha haUzuri ni kwamba hakunaga kupasiana dhambi. Kila mtu anapambana na za kwake na mshahara wake anaupata accordingly.
View attachment 2497942

Bata kavaa nailoni
Wajapan wana ufala mwingi sana. Sasa sijui nini kinawafanya wakabage hako kasehemu
Mdalasini 😂Hii kitu huwa inakera sana View attachment 2498025
Hapa ni TTCL office ya Masaki...Hivi ofisi za DHL zipo maeneo gani hapa Dar?
View attachment 2497898