Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,377


Mwenyekiti bana. Alisema tu kuwa kudeal na CCM ni kama unatongoza demu. 


Ili kupata mzigo kama huu unatakiwa uwe na utajiri kiasi ganiVitamu kweli kweli. Kuna kamoja kalinifinyia kwa ndani siku ya birthday yangu aisee kidogo nipate temporary brain paralysis...
Ila bado niko timu tinginya SDY![]()
View attachment 2493559
Yengekuwa mazur zaid kwa wasukuma
😂😂😂😂Mwanaume utakuwaje mweupe?![]()
Marahaba mjukuu.Shikamoo babu![]()



Kama upo Dar sema nikupe connection. 50KIli kupata mzigo kama huu unatakiwa uwe na utajiri kiasi gani






Sasa waziri mzima hadi uvae vistika mkononi kuonyesha kwamba umelipia kiingilio ili usije ukatolewa nje?