Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230118-063524.jpg
 
Aisee 😅😅
Ugali na mchemsho?
Hapo labda nile mboga tu
Hicho ndicho kitakachokupata, kwa mfano, ukija kwangu Misungwi. Utachinjiwa beberu la mbuzi na matokeo yake ndo hayo. Nyama za kila aina. Na ni lazima ule kweli kweli maana usipokula ni dalili ya dharau na kutukosea heshima wenyeji wako. Na nyama zingine zinakaushwa (mitanda) ukiondoka tunakubebesha. Ikibidi na ngozi ya beberu lako pia unafungiwa vizuri.

Utayaweza haya? 😁😁😁
 
Back
Top Bottom