Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,482
- 203,156
Aisee 😅😅
Ugali na mchemsho?
Hapo labda nile mboga tu
Aisee 😅😅
Hicho ndicho kitakachokupata, kwa mfano, ukija kwangu Misungwi. Utachinjiwa beberu la mbuzi na matokeo yake ndo hayo. Nyama za kila aina. Na ni lazima ule kweli kweli maana usipokula ni dalili ya dharau na kutukosea heshima wenyeji wako. Na nyama zingine zinakaushwa (mitanda) ukiondoka tunakubebesha. Ikibidi na ngozi ya beberu lako pia unafungiwa vizuri.Aisee 😅😅
Ugali na mchemsho?
Hapo labda nile mboga tu
Hawa ndio wanawake wanajielewa 😍😍😍 mwanaume wa shoka u akuwaje u akula mbususu moja tuuKwa wanaume tu. This message is for you 😁😁😁
View attachment 2485530







