Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kama kuna CCTV inayoshinda hii, nionyeshe. Nimekaa paleee!
20230109_172539.jpg
 
Breaking News: Taliban walitoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!

Na, hakuna elimu kwa wanawake pia, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!

IMANI INAPOKUWA MZIGO MZITO
20230109_180340.jpg
 
Back
Top Bottom