antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 49,678
- 130,554
Unamaliza kugombana na kumtusi kondakta, baadaye kidogo unasikia mlio wa sarafu kuashiria kuwa konda ameanza kukusanya nauli. Unajisachi unagundua huna wallet, ushaibiwa, na huna hata 100, na konda mwenye hasira kali juu yako anakukaribia![]()

Wadada na Mawigi..
Utajisikiaje siku Boyfriend wako anaingia chumbani halafu anatundika NDEVU zake kwenye henga?!






unyama mwaisa


mambo ya Deep Pond mzee wa Tasnia