Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20230109-WA0019.jpg
 
Breaking News: Taliban walitoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!

Na, hakuna elimu kwa wanawake pia, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!

IMANI INAPOKUWA MZIGO MZITOView attachment 2475209
Duuh!
Na hayo mavazi yanafunika kila sehemu hata macho!
 
Back
Top Bottom