Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_0766.jpg
 
Itakua uliangusha, pole. Mwenzako kuna siku nimeingia dukani agiza vitu hela sasa naziona? wacha nidate kumbe kabegi kangu kuna sehemu pamefumuka hela nilizikunja pamoja zikawa zimezama pale palipofumuka zipo kwa ndani humo humo nisijue yaan nilishaanza kulia kupoteza hela kunauma bora uzitumie kiholela ziishe ujue moja ila sio kupoteza.

Sent using Jamii Forums mobile app
mmenikumbusha mimi kuna siku niliweka hela tena ilikuwepo hapo na hela ya kodi. Kumbe hiyo sehemu niliyoweka panya kapita akabebea noti zote nyuma ya kabati.... Nakumbuka ilikuwa pasaka ile mwenyewe niende buchani nikanunue ka-robo naangalia hela nilipoweka hamna, nilidata aisee...nililiaaa kama nina msiba. Baadae katika kusogeza sogeza vitu naona noti imetokeza kidogo kusukuma kabati naona noti zote zimerundikwa huko.
 
mmenikumbusha mimi kuna siku niliweka hela tena ilikuwepo hapo na hela ya kodi. Kumbe hiyo sehemu niliyoweka panya kapita akabebea noti zote nyuma ya kabati.... Nakumbuka ilikuwa pasaka ile mwenyewe niende buchani nikanunue ka-robo naangalia hela nilipoweka hamna, nilidata aisee...nililiaaa kama nina msiba. Baadae katika kusogeza sogeza vitu naona noti imetokeza kidogo kusukuma kabati naona noti zote zimerundikwa huko.
hakuzichana chana kama kawaida yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom