Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

[emoji16][emoji16][emoji16] Mimi ukiona nimekuja hadi kwako jua nimekuja kukupea wewe tu ushindwe[emoji125][emoji125][emoji125]
Kuanzia leo napambana kufa na kupona uje kwangu. Na itakuwa mara yangu ya kwanza kula Mkinga aisee! Can't wait wallahi! [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Simba wa Tanzania huyu. Ndiye alimfurusha Idd Amin wakati wa vita vya Kagera. Miaka 104 and counting [emoji122][emoji122][emoji122][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
IMG-20230104-WA0055.jpg
 
Kuanzia leo napambana kufa na kupona uje kwangu. Na itakuwa mara yangu ya kwanza kula Mkinga aisee! Can't wait wallahi! [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Kama hujawahi acha tu usijaribu...tuko na sura personal ila hatuachiki jiulize kwa nini [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom