Itakua uliangusha, pole. Mwenzako kuna siku nimeingia dukani agiza vitu hela sasa naziona? wacha nidate kumbe kabegi kangu kuna sehemu pamefumuka hela nilizikunja pamoja zikawa zimezama pale palipofumuka zipo kwa ndani humo humo nisijue yaan nilishaanza kuliaYaani sielewi,nilienda dukani sasa sijui niiacha pale au nilidosha njiani, nashtuka nipo duka lingine nitoe hela nimebakiwa na 3500
Nusu nivue nguo![]()
kupoteza hela kunauma bora uzitumie kiholela ziishe ujue moja ila sio kupoteza.
Ila ana mtako dah!Kuna mitumbwi mingine ukiivamia kazi unayo! Kama huyu ndio ujikute umemuoa



Ni kwa neema tu. Zingine zote mbwembwe tu...Yesu alishika amri zote kikamilifu, ili wewe ukitubu na kumwamini yeye, uhesabiwe kuwa wewe ndio umeshika kikamilifu, hiyo ndio maana ya kuokoka "kuhesabiwa haki kwa imani"
2 Kor. 5:21, Gal. 4:1-6, Rum. 3:23-26, Rum. 5:1
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Hiyo ndio neema yenyewe, Mungu alijua kabisa kuwa hakuna awezae kushika kikamilifu ndio maana akamtuma Mungu Mwana kushika kikamilifu.Ni kwa neema tu. Zingine zote mbwembwe tu...




Yaani jana nilikiwa naomba masaa yarudi nyuma daah, itakuwa nilitupa njiani,maana nimeingia dukani nilipe sasa hela hamnaItakua uliangusha, pole. Mwenzako kuna siku nimeingia dukani agiza vitu hela sasa naziona? wacha nidate kumbe kabegi kangu kuna sehemu pamefumuka hela nilizikunja pamoja zikawa zimezama pale palipofumuka zipo kwa ndani humo humo nisijue yaan nilishaanza kuliakupoteza hela kunauma bora uzitumie kiholela ziishe ujue moja ila sio kupoteza.
Sent using Jamii Forums mobile app
,
Yaani jana nilikiwa naomba masaa yarudi nyuma daah, itakuwa nilitupa njiani,maana nimeingia dukani nilipe sasa hela hamna,
Nikawa najiuliza au nimeacha nyumbani? Lkn si nilibeba? Ngoja nikaangalie nyumbani![]()
pole kipenzi. Kufika home holaaaAna hatari huyo....Mama mwenye ujauzito wa miezi minne Jamila Hamisi (34) mkazi wa mtaa wa Remtula kata ya Elerai Jijini Arusha, amedai amejeruhiwa macho yake kwa kupigwa ngumi za uso na mume wake baada ya kutokea mzozano kati yao desemba 27, 2022.
Jamila ameliomba Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limkanye mwanaume huyo ili aweze kuendelea kuishi naye kwakua bado ana upendo naye.