Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako



IMG-20221224-WA0039.jpg
 
Klabu ya Yanga imeripotiwa kurejesha pesa za kuvunja mkataba kiasi cha Tsh milioni 112 zilizolipwa na mchezaji Feisal Salum Klabu hiyo imemuandikia barua mchezaji huyo na kumtaka azingatie mkataba baina yao huku wakiziandikia mamlaka za soka pia Fei amerejea kambini rasmi Yanga
-Maulid Kitenge-
Image
IMG-20221224-WA0172.jpg
 
Back
Top Bottom