Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20221223_071237_377.jpg
 
Kuna obsession kubwa na mikopo. Kwa nini? TRA wamedorora kukusanya mapato au matumizi ya serikali yamezidi? Tatizo hasa ni nini?

Kila mtu anajua mikopo ina madhara huko mbele ya safari. Why this obsession? Hazina hakuna kitu ama?
View attachment 2453458View attachment 2453459View attachment 2453460View attachment 2453461View attachment 2453462View attachment 2453463
Aisee, kuna upigaji sasa hivi, ni upigaji wa kiwango cha lami. Inawezakana mama hajastukia, au wamemzidi ujanja kinamna.
 
Hata huko ni kijiweni kwangu sana tu...

Threads zako ni kama maji - usipozinywa utazikoga tu!

Nikitoka hapa nakwenda kuangalia mitongozano ya selfika. Halafu huko kwa watoto. Mikosi ikinielemea nazama kwenye chumvi. Libundi likinililia dirishani natafuta nyuzi za kilozi....kifo nacho kuna nyuzi zake. Yaani mzee Baba umekaba kila kona yaani.

Nilifikiri mwaka huu wangekupa tuzo ya heshima kwenye khafla ya Stories of Change. You da man!
Mikosi ikinielemea nazama kwenye chumvi. Libundi likinililia dirishani natafuta nyuzi za kilozi....kifo nacho kuna nyuzi zake. Yaani mzee Baba umekaba kila kona yaani.
 
Hata huko ni kijiweni kwangu sana tu...

Threads zako ni kama maji - usipozinywa utazikoga tu!

Nikitoka hapa nakwenda kuangalia mitongozano ya selfika. Halafu huko kwa watoto. Mikosi ikinielemea nazama kwenye chumvi. Libundi likinililia dirishani natafuta nyuzi za kilozi....kifo nacho kuna nyuzi zake. Yaani mzee Baba umekaba kila kona yaani.

Nilifikiri mwaka huu wangekupa tuzo ya heshima kwenye khafla ya Stories of Change. You da man!
Mikosi ikinielemea nazama kwenye chumvi. Libundi likinililia dirishani natafuta nyuzi za kilozi....kifo nacho kuna nyuzi zake. Yaani mzee Baba umekaba kila kona yaani.
 
Hata kama anapiga, anatakiwa awadhibiti wapigaji wengine

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hata kwa maneno tu hawezi kuwakemea sembuse matendo....

Alipaswa kuonyesha ukali hata kama ni wa maneno tu sisi wananzengo tukajua kuwa yuko siriazi. Sasa hizi kauli za mara wale kulingana na urefu wa kamba. Mara wafujaji fujeni tu dah! Inaonekana kama vile kabariki japo naamini sivyo....Washauri na PR wabovu....
IMG-20221220-WA0034.jpg
 
Back
Top Bottom