McRiyckeel
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 2,127
- 12,635
PELE on Best Player Today
Watu kweli ni wa-bad.Mwamba haamini yaani....
View attachment 2453263
Naamini watu wa suicide pia watakuwa wanapapenda sana...na wale wa selfie za hatari kutafuta likes na umaarufu kama huyuJiwe la mapenzi Nchini Norwayhapa wataliii kutoka Nchi mbali mbali huja Na kufurahia wakiwa pamoja Na wapenzi waoView attachment 2455164
. Wakiteleza tu parapanda inalia....Ukiwa nayo hii dola milioni 10+ hukosi1959 Chevrolet ImpalaView attachment 2455163
Huyu mama mtu mzima sana ila naona baharia amekomaa naye mpaka amle



Nadhani ni wakati ule alipoteguka mguu akasema kapigwa na watu wasiojulikanaWatu kweli ni wa-bad.
Wame-edit na kuweka picha ya mwenyekiti ??!!!



Kama ziwa victoria a.k.a nyanza tumeshindwa kuitumia ije hako kabwawa ...viongozi wahovyooooo