Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Chawa pro max
Screenshot_20221215-191046_WhatsApp.jpg
 
DS ni nini?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
kwa battery za kisasa hasa za Camera/Console huwa zinawekewa chip na manufacture wa kampuni husika kuitambua battery Original na fake, ukiweka battery fake camera au console inashindwa kuitambua battery hivyo haitawaka.

So kuna Coded, Half Coded na Decoded

Decoded [DS]
- hizi ni non-original au third part manufactured zinakuwa modified kwenye chip codes hivyo hata ikiwa feki Camera/Console itawaka na kutambua kiasi cha charge kilichopo kwenye battery + utaweza kuichaji na original charger ya manufacture wa camera/console tofauti yake na coded ni kwenye bei.

Half Coded [HS] - Camera/Console itawaka ila haitaweza kutambua kiwango cha charge kilichopo kwenye battery + haiwezi kuchajiwa na original charger

Coded [CS] - itaweza kutambua battery kuwa ni OG, Kiwango cha charge kilichopo + kuweza kuchajiwa na charger original
 
Back
Top Bottom