Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Ni huyu au mwingine?Katika hali isiyo ya kawaida, Abdel Raphael (42) Mkazi wa Mtaa wa Uwanja Mkoani Geita amekutwa amefariki kwa kile kinachodaiwa alifunga maombi ya sala kwa siku 30 katika chumba chake huku akiiaminisha Familia yake kuwa akifariki atafufuka baada ya siku nane.View attachment 2448286
Ukiacha wosia tukuzike na pesa zako na mazagazaga mengine ndani ya hiyo Range Rover yako mpya tutafanya hivyo. Hakikisha tu huna madeni!Kwanza hakuna atakaezikwa na pesa![]()


