But there's NO EThe “E” in Tanzania stands for Electricity
Daah hizi mbigili nilizokoma enzi za Jkt mujibu wa sheria tumekula vibukta tunacrawl asee kuna mida mbigili ziliganda kwenye dickhead muda wa kucrawl kale kamshtuko sitosahau



Ebwana kichwa cha juma kichomwe na mbigili harafu utulie lazima jeshini wangenikimbiza siku hiyo hiyoDaah hizi mbigili nilizokoma enzi za Jkt mujibu wa sheria tumekula vibukta tunacrawl asee kuna mida mbigili ziliganda kwenye dickhead muda wa kucrawl kale kamshtuko sitosahau![]()
Kuna maservice men mzee wanajiona kama Navy seal au Delta force vile wanahandle makuruta sisi tena sana sana baada ya kutoka form6 wanadhani tukifungua mioyo tuunge kozi tutawapita, So wakawa wanatuzingua sanaEbwana kichwa cha juma kichomwe na mbigili harafu utulie lazima jeshini wangenikimbiza siku hiyo hiyo
Kuna maservice men mzee wanajiona kama Navy seal au Delta force vile wanahandle makuruta sisi tena sana sana baada ya kutoka form6 wanadhani tukifungua mioyo tuunge kozi tutawapita, So wakawa wanatuzingua sana





Full mbigili... nakumbuka