Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,898
- 136,562
Aiseee kumbe hali ni mbaya hiviTuendelee kukumbushana ukimwi upo wazeeView attachment 2434143
Watoto wa chuga utasikia: "Ase charii yangu usilete utani na pesa yangu kabisa
Au nikutoe "Maku" ndio unipe hiyo pesa
Ni zaidi ya hapo jomba, hiyo ni takwimu ya 2019, kwa takwimu ya Mwaka 2021 ni kuwa 5% ya adult population iko +ve,...Tuendelee kukumbushana ukimwi upo wazeeView attachment 2434143
🤣🤣🤣🤣 Na sie tunajua tutaenda kula msosi mtamu