








Huyo ni yuda iskariote, Mungu hawezi kuzaa mtoto sura mbaya.Baada ya miaka mingi ya utafiti uliozingatia DNA, Anthropological Forensics, AI na mengineyo, wanasayansi wanaamini kuwa kwa asilimia kubwa hii ndiyo sura na rangi ya Bwana Yesu Kristo.
View attachment 2427570
Kumbe hakuwa yule kijana mweupe tuliyeaminishwa na Wazungu
View attachment 2427572



DuhBaada ya miaka mingi ya utafiti uliozingatia DNA, Anthropological Forensics, AI na mengineyo, wanasayansi wanaamini kuwa kwa asilimia kubwa hii ndiyo sura na rangi ya Bwana Yesu Kristo.
View attachment 2427570
Kumbe hakuwa yule kijana mweupe tuliyeaminishwa na Wazungu
View attachment 2427572