Bana Balume
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 999
- 2,726
Tangazo tangazo
Alikufa lini na nini kilimuua?Kipindi hicho jamaa alikua watano kidunia kwa utajiri, aliweza kujenga nyumba nzuri hakuna mfano mpaka iliiwa pepo ya duniani.
Juu mlangoni mwa hiyo pepo aliweka ndege kubwa nzuri zenye kupendeza kama mapambo
Huyo binti yake alishawahi kupewa fursa ya kuchagua chochote anachokitaka, dogo akachagua farasi ambaye anamabawa.
Jiulize farasi mwenye mbawa utampata wapi?
Jamaa alichukua farasi akaleta jopo la wanasayansi wafanye upandikizi wa mbawa kwa yule farasi ilimradi tu kutimiza ahadi kwa bintiye
Aliweza kufanikisha zoezi hilo lakini hakuchukua muda mrefu, yule farasi akafa
Pablo escobar ndo mfungwa pekee ambaye alijijengea gereza kwa pesa yake, na ramani ali design yeye.
Gereza lilikua zuri lililofungwa mitambo ya kisasa, waterfall na system za mawasiliano ya kisasa iliyoweza kumfanya awasiliane na familia yake vizuri kwa njia ya kuonana, huku akiendelea kufanya biashara ya madawa akiwa humo humo gerezani
Na waluothibutu kumdhurumu mali zake kwa kujua kua yuko jela hawezi kufanya lolote, watu hao waliuwawa kwa mkono wake akiwa humo humo gerezani
Baada ya serikali ya nchi hiyo kusanukia huo mchezo wakaweka mpango wa kumuua, wakati wako nje hawajalifikia gereza escobar aliwateka wale askari waliokua wanamlinda mle kwa kutumia jeshi lake lililokua miongonj mwa hao askari
Akawaamuru majeshi yaliyokua nje yasithubutu kusogea kwani watasababisha askari wao wauawe, jeshi likatii amri yake
Baada ya kimya cha muda mrefu kutoka ndani ya gereza, wanajeshi wa serikali walijaribu kuingia ndani ya gereza na kukuta walinzi waserikali wameuawa na kilichowashangaza zaidi kutomuona escobar
Kwasababu wao ndio walikua mlangoni kwaiyo kama angetoka lazima angekutana nao pale nje, na mfumo wa hilo gereza lilikua na umbo kama duara kwamba mlango ulionekana ni mmoja tu sasa yeye katokea wapi??
Hilo ni swali ambalo mpaka leo halijatafutiwa ufumbuzi
Alijiua kwa kujipiga risasi baada ya kufukuzwa na wanajeshi wa serikaliniAlikufa lini na nini kilimuua?
Kwa hiyo kama sio kujiua huenda. Hadi leo angekuwepo hai sioAlijiua kwa kujipiga risasi baada ya kufukuzwa na wanajeshi wa serikalini
Kama angekuwepo basi angekua mzee sanaKwa hiyo kama sio kujiua huenda. Hadi leo angekuwepo hai sio





Hapa nimetoka mtupu
Mama Mkwe katumia husia kufikiria na kutoa jibu, funzo tusitumie hisia Ku judge, siku zote hisia huwa na majibu ya haraka. Tuwe wavumilivu.