Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Wanaume wote ni mbwa Kwa msemo wenu...Kumbee
Labda wanaume wao.wangu hapana kwakweli ni king.Wanaume wote ni mbwa Kwa msemo wenu...
Bora wewe una akili...Labda wanaume wao.wangu hapana kwakweli ni king.
Hii siiamini
Akili ninazo sana tu..kama mapenzi yapo yapo tu..kama hayapo basi ndo hivyo tuachane Kwa Amani ya Bwana lakini hatoweza kugeuka kuwa mbwaBora wewe una akili...
Lakini sii wanawake wanasema sie ni mbwa soo free tuu wakilala na sie
Mbeya hapo
Heaven is real
Mbwa hua ana nusa sana na kulamba sanaê

wanawake wa wapi? Jibwa lenyewe ukute kama hilo pichani aah wee sio kweli.