McRiyckeel
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 2,127
- 12,635
Huku wana wanaposti maisha mazuri tu...ila kwa ground Mungu ndo anajua
Huku wana wanaposti maisha mazuri tu...ila kwa ground Mungu ndo anajua
Aah wap, wengine hatunaga hizo yaan bae anipe mihela nianze ngonjera haipo hiyo.Wanawake wapo hivi, ukiwa huna pesa watalalamika, na ukiwapa pesa wanakuja na zile story “Unadhani mie kwako nimefuata pesa? Nahitaji muda na upendo wako” Lesson: Hawaridhiki hawa

hivi vitu wanawake ndo wanavovitaka na kuvipenda muda wote uwasifieDaaah kitambo Sana kichochoro kipo pembeni hapo
Kuna mmoja anauza matofali asa anapiga picha na filter yani...